Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /4
TEHRAN (IQNA)- Qarii maarufu wa Qur’ani kutoka Misri,marhum Ustadh Sidiq Minshawi alikuwa na qiraa ambayo imedumu na inaendelea kuwavutia mamilioni hadi leo.
Habari ID: 3475818 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/21
Wasomaji maarufu wa Qur'ani Tukufu / 2
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Muhammad Mahmood Rafaat alikuwa miongoni mwa wasomaji Qur'ani mahiri nchini Misri. Ingawa alikuwa na ulemavu wa macho, aliibua kwa namna fulani mtindo tofauti wa qiraa au usomaji Qur'ani ikilinganishwa na maqari au wasomaji wenzake kwa kutumia silika na hisia zake za kina.
Habari ID: 3475768 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/11